Karibu katika KUFUNGULIWA! Tunaamini kwamba Yesu Anakuja hivi karibuni. Hivyo, mada kuu ya Siku 10 za Maombi mwaka huu ni
kumwalika Roho Mtakatifu abadilishe maisha yetu na ulimwengu wetu. Jiunge nasi tunapomtafuta Mungu kwa siku 10 za uamsho tukiongozwa na Roho Mtakatifu.
Kabla hajafa, Yesu aliwaahidi wafuasi Wake zawadi ya Roho Mtakatifu: “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele; ndiye Roho wa kweli” (Yohana 14:16, 17). Baadaye, mara kabla hajaondoka duniani na kwenda kuandaa mahali pa milele kwa ajili yetu, Yesu aliwaagiza wanafunzi Wake wasitoke Yerusalemu “bali waingoje Ahadi ya Baba,” ambayo ni ubatizo wa Roho Mtakatifu (Mdo. 1:4, 5).
Hata hivyo, zawadi hii iliyoahidiwa kwa kiasi kikubwa haijafunguliwa na watu wa Mungu. Huwa tunaizungumzia tu Zawadi hii. Tunajifunza na kuichunguza Ahadi hii. Lakini mara nyingi hatufikii hatua ya kuifungua Zawadi hii ya Roho Mtakatifu.
Bila ya shaka, ni Roho Mtakatifu pekee anayeweza kuifanya upya mioyo yetu yenye dhambi: “Nami nitawapa ninyi moyo mpya, nami nitatia roho mpya ndani yenu” (Ezekieli 36:26).
Ni Roho Mtakatifu pekee anayeweza kubadilisha watoto wetu: “Nitamwaga roho yangu juu ya wazao wako, na baraka yangu juu a yao utakaowazaa” (Isaya 44:3).
Pia ni Roho Mtakatifu tu anayetuunganisha na familia ya Mungu mbinguni: “Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu, ya kuwa sisi tu watoto wa Mungu” (Warumi 8:16).

Lililo bora zaidi, Mungu yuko tayari kutupatia Roho Mtakatifu: “Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?” (Luka 11:13).
Ahadi ipo tayari, ikitusubiri tuidai. Ellen White anaandika, “Kama wote wangekuwa na nia hiyo, wote wangejazwa kwa Roho. Popote ambapo hitaji la Roho Mtakatifu, linachukuliwa kuwa jambo lenye uzito mdogo, kumeonekana kuwa na ukame na giza la kiroho, kushuka kwa hali ya kiroho na kifo.” Anauliza pia, “Kwa kuwa hii ndiyo njia pekee tunayoweza kupokelea nguvu, kwa nini hatuhisi njaa na kiu ya karama ya Roho? Kwa nini hatuzungumzii, wala kuomba ama kuhubiri habari za Roho Mtakatifu?” (Matendo ya Mitume, Sehemu ya Kwanza, uk. 40).
Roho Mtakatifu aliye ndani yetu anatujaza upendo wa Baba na kutuwezesha kuwa mashahidi wasio na hofu na wa kufaa kwa ajili ya Kristo. Kwa nini usiombe kwa ajili ya Zawadi hii?

Prayer

Claim Psalm 119:105 in prayer. Ask God to send the Holy Spirit to make the written Word a light for your faith walk.

Explore the Word

  1. Read Acts 1:1–3. What does this passage teach you about Jesus?
  2. Explore the four Gospels to see how many times Jesus revealed Himself ALIVE to His followers after His resurrection. (See Matt. 28:9–20; Mark 16:9–20; Luke 24:13–53; John 20:14 to 21:25.)

Insights from Ellen White:

For forty days Christ remained on the earth, preparing the disciples for the work before them and explaining that which heretofore they had been unable to comprehend. He spoke of the prophecies concerning His advent, His rejection by the Jews, and His death, showing that every specification of these prophecies had been fulfilled. He told them that they were to regard this fulfillment of prophecy as an assurance of the power that would attend them in their future labors. “Then opened He their understanding,” we read, “that they might understand the Scriptures, and said unto them, Thus it is written, and thus it behooved Christ to suffer, and to rise from the dead the third day: and that repentance and remission of sins should be preached in His name among all nations, beginning at Jerusalem.” And He added, “Ye are witnesses of these things.”

During these days that Christ spent with His disciples, they gained a new experience. As they heard their beloved Master explaining the Scriptures in the light of all that had happened, their faith in Him was fully established. They reached the place where they could say, “I know whom I have believed.” 2 Timothy 1:12. They began to realize the nature and extent of their work, to see that they were to proclaim to the world the truths entrusted to them. The events of Christ’s life, His death and resurrection, the prophecies pointing to these events, the mysteries of the plan of salvation, the power of Jesus for the remission of sins—to all these things they had been witnesses, and they were to make them known to the world. They were to proclaim the gospel of peace and salvation through repentance and the power of the Saviour. (The Acts of the Apostles, pp. 26, 27)